Tuesday, 15 October 2019
Sunday, 13 October 2019
Tuesday, 8 October 2019
Saturday, 22 June 2019
Paul B - Wema Wako Lyrics feat. DON SANTO
CHORUS
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
VERSE 1: Paul B
Bwana Yesu wangu nakupenda toka jadi
Wema wako Bwana umenifanya niwe hai
Bwana Yesu wangu nakupenda toka jadi
Wema wako Bwana umenifanya niwe hai
Umenipa sauti naimba
Umenipa uhuru nanena
Neno lako chakula cha roho
Wema wako ni tele tele tele ai
CHORUS
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
VERSE 2: Paul B
Ulikufa msalabani nafsi yangu kapona
Hata leo ninakiri kwamba wewe ni Bwana
(Ulipigwa pigwa, ukateswa teswa wema wako ajabu*2)
Umenipa sauti naimba
Umenipa uhuru nanena
Neno lako chakula cha roho
Wema wako ni tele tele tele ai
CHORUS
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
VERSE 3: DON SANTO
Unaponya, Yesu wangu we wapendeza aha
Waongoza njia zangu zote nakupenda aha
Minapenda kuimba, minapenda kusifu
Minapenda kucheza, nakupendaa..
Aram tapa tapa minapenda vitu mingi hata kutaja nashindwa
Bila ule wema wako ningekuwa kitu bure YESU nakupenda ah ah
CHORUS
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
VERSE 1: Paul B
Bwana Yesu wangu nakupenda toka jadi
Wema wako Bwana umenifanya niwe hai
Bwana Yesu wangu nakupenda toka jadi
Wema wako Bwana umenifanya niwe hai
Umenipa sauti naimba
Umenipa uhuru nanena
Neno lako chakula cha roho
Wema wako ni tele tele tele ai
CHORUS
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
VERSE 2: Paul B
Ulikufa msalabani nafsi yangu kapona
Hata leo ninakiri kwamba wewe ni Bwana
(Ulipigwa pigwa, ukateswa teswa wema wako ajabu*2)
Umenipa sauti naimba
Umenipa uhuru nanena
Neno lako chakula cha roho
Wema wako ni tele tele tele ai
CHORUS
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
VERSE 3: DON SANTO
Unaponya, Yesu wangu we wapendeza aha
Waongoza njia zangu zote nakupenda aha
Minapenda kuimba, minapenda kusifu
Minapenda kucheza, nakupendaa..
Aram tapa tapa minapenda vitu mingi hata kutaja nashindwa
Bila ule wema wako ningekuwa kitu bure YESU nakupenda ah ah
CHORUS
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Subscribe to:
Posts (Atom)
DON SANTO x BADMAN KILLA - REMEMBER | KALPOP LYRICS
"If you can remember me, I will be with you always.” - DON SANTO. DON SANTO wrote it while he was being chauffeured to record "Who...
-
Intro... { VERSE 1 } Candle light Burning bright, Blow the kisses babe Dance to the music of the sun I swear you great Mo...